Septemba 25–Oktoba 1
DANIELI 4-6
Wimbo 47 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Je, Unamtumikia Yehova Daima?”: (Dak. 10)
Da 6:7-10—Danieli alihatarisha uhai wake ili amtumikie Yehova daima (w10 11/15 6 ¶16; w06 11/1 24 ¶12)
Da 6:16, 20—Mfalme Dario alitambua kwamba Danieli alikuwa na uhusiano wa karibu na Yehova (w03 9/15 15 ¶2)
Da 6:22, 23—Yehova alimbariki Danieli kwa kudumisha ratiba yake ya ibada (w10 2/15 18 ¶15)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Da 4:10, 11, 20-22—Ule mti mrefu sana katika ndoto ya Nebukadneza uliwakilisha nini? (w07 9/1 18 ¶5)
Da 5:17, 29—Kwa nini mwanzoni Danieli alikataa zawadi za Mfalme Belshaza lakini baadaye akazikubali? (w88 10/1 30 ¶3-5; dp 109 ¶22)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Da 4:29-37
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) inv
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) inv—Mwaliko wa kuhudhuria mikutano uliachwa katika ziara iliyotangulia. Onyesha jinsi ya kufanya ziara ya kurudia.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 120 ¶16—Mtie moyo mwanafunzi adumishe utimilifu licha ya kupingwa na mtu wa familia.
MAISHA YA MKRISTO
“Wazoeze Kumtumikia Yehova Daima”: (Dak. 15) Mazungumzo. Baadaye, onyesha na mzungumzie video inayoonyesha mhubiri mwenye uzoefu akihubiri pamoja na mhubiri mpya.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 18 ¶9-20, sanduku “Michango Yetu Hutumiwaje?,” sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 109 na Sala