Oktoba 9-15
DANIELI 10-12
Wimbo 63 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yehova Alitabiri Wakati Ujao wa Wafalme”: (Dak. 10)
Da 11:2—Wafalme wanne walisimama kwenye Milki ya Uajemi (dp 212-213 ¶5-6)
Da 11:4—Ufalme wa Aleksanda uligawanywa katika sehemu nne (dp 214 ¶11)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Da 12:3—“Wale walio na ufahamu” ni nani, na ni lini “watang’aa kama mwangaza wa anga”? (w13 7/15 13 ¶16, maelezo ya ziada)
Da 12:13—Ni katika njia gani Danieli ‘atasimama’? (dp 315 ¶18)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Da 11:28-39
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) g17.5 jalada—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) g17.5 jalada—Gazeti liliachwa katika ziara iliyotangulia. Endeleza mazungumzo na uweke msingi wa ziara inayofuata.
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w16.11 5-6 ¶7-8—Kichwa: Ni Katika Njia Gani Tunaweza Kuiga Mfano wa Yehova wa Kuwatia Moyo Wengine?
MAISHA YA MKRISTO
Kuimarishwa na Unabii wa Biblia: (Dak. 15) Onyesha video Kuimarishwa na “Neno la Kinabii.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 19 ¶8-18, sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 91 na Sala