Novemba 6-12
AMOSI 1-9
Wimbo 60 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mtafuteni Yehova, Mwendelee Kuishi”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Amosi.]
Amo 5:4, 6—Tunapaswa kumjua Yehova na kufanya mapenzi yake (w04 11/15 24 ¶20)a
Amo 5:14, 15—Tunapaswa kukubali viwango vya Yehova vya mema na mabaya na kujifunza kupenda viwango hivyo (jd 90-91 ¶16-17)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Amo 2:12—Tunaweza kutumiaje somo linalopatikana kwenye mstari huu? (w07 10/1 14 ¶8)
Amo 8:1, 2—“Kikapu cha matunda ya wakati wa kiangazi” kilimaanisha nini? (w07 10/1 14 ¶6)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Amo 4:1-13
BORESHA HUDUMA YAKO
Uwe Tayari Kutoa Machapisho Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumzo yanayotegemea “Mapendekezo kwa Ajili ya Utumishi.” Onyesha video za mapendekezo, halafu mzungumzie mambo makuu. Ikiwa video hizo hazipatikani, panga kuwe na onyesho.
MAISHA YA MKRISTO
“Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kufanya Ziara ya Kurudia”: (Dak. 15) Mazungumzo. Baada ya hapo, onyesha na mzungumzie video inayoonyesha wahubiri wawili wakifanya ziara ya kurudia.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr “Sehemu ya 7—Ahadi za Ufalme—Kufanya Vitu Vyote Kuwa Vipya,” sura ya 21 ¶1-7
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 143 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: w = Mnara wa Mlinzi; jd = Izingatie Siku ya Yehova Maishani; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala!; ia = Igeni Imani Yao; wp = Mnara wa Mlinzi —Toleo la Watu Wote; ld = Msikilize Mungu; bh = Biblia Inafundisha Nini Hasa?; hf = Unaweza Kuwa na Familia Yenye Furaha