Novemba 13-19
Obadia 1–Yona 4
Wimbo 102 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Jifunze Kutokana na Makosa Yako”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Obadia.]
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Yona.]
Yon 3:1-3—Yona alijifunza kutokana na makosa yake (ia 114 ¶22-23)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Oba 10—Edomu ‘lilikatiliwa mbali mpaka wakati usio na kipimo’ jinsi gani? (w07 11/1 13 ¶5)
Oba 12—Tunajifunza nini kutokana na jinsi Mungu alivyohukumu Edomu? (jd 112 ¶4-5)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Yon 3:1-10
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) wp17.6 jalada—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) wp17.6—Gazeti liliachwa katika ziara ya kwanza. Onyesha jinsi ya kufanya ziara ya kurudia, na umwonyeshe chapisho moja tunalotumia kuongoza mafunzo ya Biblia.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) ld 12-13—Chagua picha mtakazozungumzia.
MAISHA YA MKRISTO
“Mambo Tunayojifunza Katika Kitabu cha Yona”: (Dak. 15) Zungumzia makala hiyo baada ya kuonyesha video yenye kichwa Ibada ya Familia: Yona—Kujifunza Kutokana na Rehema za Yehova.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 21 ¶8-14
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 150 na Sala