HAZINA ZA NENO LA MUNGU | OBADIA 1–YONA 4
Jifunze Kutokana na Makosa Yako
Simulizi la Yona linaonyesha kwamba tunapofanya makosa Yehova hatuachi na kutuona kuwa hatufai. Hata hivyo, anatarajia tujifunze kutokana na makosa yetu na kufanya mabadiliko yanayohitajika.
Yona alifanya kosa gani alipopokea mgawo kutoka kwa Yehova?
Yona alisali kuhusu nini, na Yehova alifanya nini?
Yona alionyeshaje kwamba alijifunza kutokana na makosa yake?