Novemba 20-26
MIKA 1-7
Wimbo 31 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu?”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Mika.]
Mik 6:6, 7—Dhabihu zetu hazina thamani machoni pa Yehova ikiwa tutakosa kuwatendea wanadamu wenzetu kwa njia inayofaa (w08 5/15 6 ¶20)
Mik 6:8—Tunaweza kutimiza matakwa ya Yehova (w12 11/1 22 ¶4-7)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Mik 2:12—Unabii huu ulitimizwaje? (w07 11/1 15 ¶6)
Mik 7:7—Kwa nini tunapaswa “kuonyesha mtazamo wa kumngojea” Yehova? (w03 8/15 24 ¶20)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Mik 4:1-10
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Zb 83:18—Fundisha Kweli. Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Kut 3:14—Fundisha Kweli. Weka msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) bh 123-124 ¶20-21.
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 6)
Yehova Anataka Tuwe Wakarimu (Met. 3:27): (Dak. 9) Onyesha video hiyo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 21 ¶15-20, chati “Mambo Yatakayotokea Hivi Karibuni,” sanduku la pitio “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 149 na Sala