Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Novemba uku. 5
  • Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu?
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Anataka Nini Kwetu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
  • Mika 6:8—“Kwenda kwa Unyenyekevu na Mungu Wako”
    Mistari ya Biblia Yafafanuliwa
  • “Lazima Muwe Watakatifu”
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Tutatembea Katika Jina la Yehova Milele!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
mwb17 Novemba uku. 5

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MIKA 1-7

Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu?

6:6-8

Yehova anaelewa mipaka yetu na hatazamii tufanye mambo yanayopita uwezo wetu. Kwa maoni ya Mungu, uhusiano wetu na ndugu zetu ni sehemu muhimu ya ibada ya kweli. Ikiwa tunataka Yehova akubali dhabihu zetu, tunapaswa kuwatendea ndugu zetu kwa upendo na heshima.

Unyoofu wa Mwisraeli katika biashara na jinsi anavyomtendea mke wake kunaamua ikiwa dhabihu yake inakubalika
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki