Novemba 27–Desemba 3
NAHUMU 1–HABAKUKI 3
Wimbo 129 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Endelea Kuwa Macho Kiroho na Mwenye Bidii”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Nahumu.]
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Habakuki.]
Hab 2:1-4—Ili tuokoke siku ya hukumu ya Yehova inayokuja, lazima ‘tuendelee kuitarajia’ (w07 11/15 10 ¶4-6)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Nah 1:8; 2:6—Ninawi liliangamizwaje? (w07 11/15 9 ¶2)
Hab 3:17-19—Ingawa huenda tukakabili matatizo kabla na wakati wa Har–Magedoni, tunaweza kuwa na uhakika gani? (w07 11/15 10 ¶11)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Hab 2:15–3:6
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) hf—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) hf—Broshua iliachwa katika ziara iliyotangulia. Onyesha jinsi ya kufanya ziara ya kurudia.
Hotuba: (Isizidi dak. 6) w16.03 23-25—Kichwa: Je, Unaweza Kusaidia Katika Kutaniko Lenu?
MAISHA YA MKRISTO
“Endelea Kuwa Macho Kiroho na Mwenye Bidii Hali Zinapobadilika”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kubaki Imara Kiroho Unapohama.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 22 ¶1-7
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3) Julisha kutaniko kwamba toleo la Desemba litakuwa gazeti la Amkeni! lenye kichwa “Je, Ulimwengu Umepoteza Mwelekeo?” Video ya utoaji ambayo itazungumziwa kwenye mkutano wa katikati ya juma lijalo itapatikana kwenye JW Library kuanzia Novemba 30. Wahubiri wanapaswa kujitahidi kugawa gazeti hilo kwa wingi.
Wimbo 142 na Sala