Desemba 11-17
ZEKARIA 1-8
Wimbo 26 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Shika Upindo wa Nguo ya Mtu Aliye Myahudi”: (Dak. 10)
[Onyesha video ya Utangulizi wa Zekaria.]
Zek 8:20-22—Watu wa lugha zote za mataifa wanatafuta kibali cha Yehova (w14 11/15 27 ¶14)
Zek 8:23—Kwa hiari wale walio na tumaini la kuishi duniani wanaenda pamoja na watiwa-mafuta na kuwaunga mkono (w16.01 23 ¶4; w09 2/15 27 ¶14)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Zek 5:6-11—Tuna jukumu gani leo kuhusu uovu? (w17.10 25 ¶18)
Zek 6:1—Milima miwili ya shaba inawakilisha nini? (w17.10 27-28 ¶7-8)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isizidi dak. 4) Zek 8:14-23
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) g17.6 jalada—Weka msingi wa ziara ya kurudia.
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) g17.6—Gazeti liliachwa katika ziara ya kwanza. Onyesha jinsi ya kufanya ziara ya kurudia na uweke msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Isizidi dak. 6) fg somo la 5 ¶1-2.
MAISHA YA MKRISTO
“Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kumfikia Kila Mtu Katika Eneo Letu”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Kuhubiri Katika “Sehemu ya Mbali Zaidi ya Dunia.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 22 ¶17-24, sanduku “Ufalme Ni Halisi Kwako Kadiri Gani?”
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 139 na Sala