HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATHAYO 6-7
Endeleeni Kuutafuta Kwanza Ufalme
Katika sala ya kielelezo, Yesu alionyesha kwamba masuala yanayohusu kusudi la Yehova na Ufalme wake ndiyo mambo tunayopaswa kutanguliza.
Jina la Mungu
Ufalme wa Mungu
Mapenzi ya Mungu
Mkate wa kila siku
Msamaha wa dhambi
Kukombolewa kutokana na vishawishi
Mambo fulani yanayohusu Ufalme ambayo ninaweza kusali kuyahusu:
Kuendelezwa kwa kazi ya kuhubiri
Roho takatifu ya Mungu iwategemeze wanaoteswa
Baraka za Yehova kuhusu mradi hususa wa ujenzi au kampeni za kuhubiri
Hekima na nguvu za Mungu ziwaelekeze wale wanaoongoza
Mambo mengine