Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Aprili uku. 6
  • Aprili 30–Mei 6

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Aprili 30–Mei 6
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Aprili uku. 6

Aprili 30–Mei 6

MARKO 5-6

  • Wimbo 151 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yesu Ana Nguvu za Kuwafufua Wapendwa Wetu Waliokufa”: (Dak. 10)

    • Mk 5:38—Tunaomboleza sana tunapofiwa na mpendwa wetu

    • Mk 5:39-41—Yesu ana nguvu za kuwafufua ‘waliolala’ katika kifo (“hajafa bali amelala usingizi” habari za utafiti Mk 5:39, nwtsty)

    • Mk 5:42—Ufufuo wa wakati ujao utatokeza “shangwe kubwa sana” (jy 118 ¶6)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Mk 5:19, 20—Kwa nini Yesu alitoa maagizo tofauti katika kisa hiki? (“ukawaambie” habari za utafiti Mk 5:19, nwtsty)

    • Mk 6:11—Inamaanisha nini ‘kukung’uta mavumbi yaliyo kwenye miguu’? (“kung’uteni mavumbi yaliyo kwenye miguu yenu” habari za utafiti Mk 6:11, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mk 6:1-13

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwonyeshe mwenye nyumba tovuti ya jw.org.

  • Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe na uulize swali la kuweka msingi wa ziara inayofuata.

  • Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) bhs 36 ¶23-24—Onyesha jinsi ya kugusa moyo.

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 144

  • “Tumia Sanduku Letu la Vifaa vya Kufundishia kwa Ustadi”: (Dak. 5) Mazungumzo.

  • Kupata Faraja Katika Tengenezo la Yehova: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha uliza maswali yafuatayo: Ni majaribu gani ambayo familia ya Pera ilikabili? Ni nini ambacho kimewasaidia kuvumilia? Kwa nini tunapaswa kudumisha ratiba ya kiroho tunapokabili majaribu?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 19 ¶1-9

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 72 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki