HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MARKO 5-6
Yesu Ana Nguvu za Kuwafufua Wapendwa Wetu Waliokufa
Huzuni tunayohisi mpendwa wetu anapokufa, haimaanishi kwamba hatuna imani katika ufufuo (Mwa 23:2)
Kutafakari masimulizi ya Biblia kuhusu ufufuo mbalimbali kutaimarisha imani yetu katika ufufuo wa wakati ujao
Unatamani kumkaribisha nani atakapofufuliwa?
Unawazia hali itakuwaje mtakapoonana naye tena?