Juni 11-17
LUKA 1
Wimbo 137 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Iga Unyenyekevu wa Maria”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Luka.]
Lu 1:38—Alikubali mgawo wake kwa unyenyekevu (ia 149 ¶12)
Lu 1:46-55—Alimsifu Yehova kwa kunukuu Neno lake (ia 150-151 ¶15-16)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Lu 1:69—Ni nini maana ya “pembe ya wokovu”? (“pembe ya wokovu” habari za utafiti Lu 1:69, nwtsty)
Lu 1:76—Ni katika maana gani Yohana Mbatizaji ‘angeenda mbele za Yehova’? (“utaenda mbele za Yehova” habari za utafiti Lu 1:76, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Lu 1:46-66
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8) Au unaweza kutumia habari kuhusu andiko la mwaka la 2018. (w18.01 8-9 ¶4-7)
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Onyesha video ya Juni ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 24
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 58 na Sala