Julai 23-29
LUKA 12-13
Wimbo 4 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Ninyi Ni Wenye Thamani Kuliko Shore Wengi”: (Dak. 10)
Lu 12:6—Mungu hawasahau hata ndege wadogo (“shore” habari za utafiti Lu 12:6, nwtsty)
Lu 12:7—Kwa kuwa Yehova anatujua vizuri sana hilo linatuthibitishia kwamba anatujali sana (“hata nywele zote za vichwa vyenu zimehesabiwa” habari za utafiti Lu 12:7, nwtsty)
Lu 12:7—Yehova anamwona kila mmoja wetu kuwa mwenye thamani (cl 241 ¶4-5)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Lu 13:24—Himizo hilo la Yesu linamaanisha nini? (“Jitahidini sana” habari za utafiti Lu 13:24, nwtsty)
Lu 13:33—Kwa nini Yesu alisema maneno hayo? (“haiwezekani” habari za utafiti Lu 13:33, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Lu 12:22-40
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mkaribishe kwenye mikutano.
Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe na utoe chapisho la funzo.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) lvs 214-215 ¶4-5
MAISHA YA MKRISTO
Wako Peke Yao Lakini Hawajasahauliwa: (Dak. 15) Onyesha video. Baadaye, zungumzieni maswali yafuatayo:
Wahubiri hao watatu walikabili hali zipi ngumu?
Yehova ameonyeshaje kwamba hajawasahau?
Wahubiri hao wamefauluje kuendelea kumtumikia Yehova licha ya hali ngumu walizokabili, na wengine wametiwaje moyo?
Unaweza kuwaonyeshaje upendo ndugu na dada wenye umri mkubwa katika kutaniko lenu?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 30
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 5 na Sala