Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Julai uku. 5
  • Julai 23-29

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Julai 23-29
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Julai uku. 5

Julai 23-29

LUKA 12-13

  • Wimbo 4 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Ninyi Ni Wenye Thamani Kuliko Shore Wengi”: (Dak. 10)

    • Lu 12:6—Mungu hawasahau hata ndege wadogo (“shore” habari za utafiti Lu 12:6, nwtsty)

    • Lu 12:7—Kwa kuwa Yehova anatujua vizuri sana hilo linatuthibitishia kwamba anatujali sana (“hata nywele zote za vichwa vyenu zimehesabiwa” habari za utafiti Lu 12:7, nwtsty)

    • Lu 12:7—Yehova anamwona kila mmoja wetu kuwa mwenye thamani (cl 241 ¶4-5)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Lu 13:24—Himizo hilo la Yesu linamaanisha nini? (“Jitahidini sana” habari za utafiti Lu 13:24, nwtsty)

    • Lu 13:33—Kwa nini Yesu alisema maneno hayo? (“haiwezekani” habari za utafiti Lu 13:33, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Lu 12:22-40

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mkaribishe kwenye mikutano.

  • Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe na utoe chapisho la funzo.

  • Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) lvs 214-215 ¶4-5

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 116

  • Wako Peke Yao Lakini Hawajasahauliwa: (Dak. 15) Onyesha video. Baadaye, zungumzieni maswali yafuatayo:

    • Wahubiri hao watatu walikabili hali zipi ngumu?

    • Yehova ameonyeshaje kwamba hajawasahau?

    • Wahubiri hao wamefauluje kuendelea kumtumikia Yehova licha ya hali ngumu walizokabili, na wengine wametiwaje moyo?

    • Unaweza kuwaonyeshaje upendo ndugu na dada wenye umri mkubwa katika kutaniko lenu?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 30

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 5 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki