Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Julai uku. 5
  • “Ninyi Ni Wenye Thamani Kuliko Shore Wengi”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Ninyi Ni Wenye Thamani Kuliko Shore Wengi”
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Habari Zinazolingana
  • Mungu Anatuona Kuwa Wenye Thamani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Yehova Amehesabu “Nywele Zenyewe za Kichwa Chenu”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
  • Una Thamani Machoni pa Mungu!
    Amkeni!—1999
  • Kumbuka Kusali kwa Ajili ya Wakristo Wanaoteswa
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Julai uku. 5

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | LUKA 12-13

“Ninyi Ni Wenye Thamani Kuliko Shore Wengi”

12:6, 7

Shore wawili

Ni nini muktadha wa maneno ya Yesu kwenye Luka 12:6, 7? Katika mstari wa 4, tunasoma kwamba Yesu aliwaambia wafuasi wake wasiwaogope wale wanaowapinga au ambao huenda wakawaua. Yesu alikuwa akiwatayarisha wanafunzi kukabiliana na upinzani. Aliwahakikishia kwamba Yehova anawathamini watumishi Wake wote na kwamba hataruhusu wapatwe na madhara ya kudumu.

Tunaweza kumwigaje Yehova kwa kuwajali wale wanaoteswa?

Tunaweza kupata wapi habari za karibuni kuhusu Mashahidi wa Yehova waliofungwa kwa sababu ya imani yao?

Kwa sasa, kuna ndugu na dada waliofungwa gerezani.

Ndugu anasali akiwa gerezani
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki