Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Julai uku. 6
  • Julai 30–Agosti 5

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Julai 30–Agosti 5
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Julai uku. 6

Julai 30–Agosti 5

LUKA 14-16

  • Wimbo 125 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Mfano wa Mwana Mpotevu”: (Dak. 10)

    • Lu 15:11-16—Mwana aliyeasi alitumia vibaya urithi wake akiishi maisha mapotovu (“Mtu fulani alikuwa na wana wawili,” “yule mdogo,” “akatumia vibaya,” “maisha ya anasa,” “akalishe nguruwe,” “maganda ya karuba” habari za utafiti Lu 15:11-16, nwtsty)

    • Lu 15:17-24—Alitubu na kukaribishwa tena na baba yake mwenye upendo (“dhidi yako,” “wafanyakazi,” “kumbusu kwa wororo,” “kuitwa mwanao,” “kanzu . . . pete . . . viatu” habari za utafiti Lu 15:17-24, nwtsty)

    • Lu 15:25-32—Maoni ya mwana mkubwa yalisahihishwa

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Lu 14:26—Neno ‘kuchukia’ linamaanisha nini katika muktadha huu? (“hamchukii” habari za utafiti Lu 14:26, nwtsty)

    • Lu 16:10-13—Yesu alikuwa akifundisha nini alipozungumzia “mali zisizo za uadilifu”? (w17.07 8-9 ¶7-8)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Lu 14:1-14

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwalike kwenye mikutano.

  • Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe na utoe chapisho la funzo.

  • Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) lvs 37-38 ¶14-15

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 107

  • “Mwana Mpotevu Arudi”: (Dak. 15) Mazungumzo. Anza kwa kuonyesha video Mwana Mpotevu Arudi—Kisehemu.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 31

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 139 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki