Septemba 24-30
YOHANA 7-8
Wimbo 12 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yesu Alimtukuza Baba Yake”: (Dak. 10)
Yoh 7:15-18—Yesu aliposifiwa kwa sababu ya ufundishaji wake alielekeza sifa kwa Yehova (cf 100-101 ¶5-6)
Yoh 7:28, 29—Yesu alisema kwamba alitumwa awe mwakilishi wa Mungu, hilo lilionyesha ujitiisho wake kwa Yehova
Yoh 8:29—Yesu aliwaambia wasikilizaji wake kwamba sikuzote alifanya mambo yanayompendeza Yehova (w11 3/15 11 ¶19)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 7:8-10—Je, Yesu aliwadanganya ndugu zake wa ukoo ambao hawakuwa waamini? (w07 2/1 6 ¶4)
Yoh 8:58—Katika mstari huu kuna msingi gani wa kusema “nimekuwapo” badala ya “nipo,” na kwa nini hilo ni muhimu? (“Nimekuwapo” habari za utafiti Yoh 8:58, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 8:31-47
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwalike mwenye nyumba kwenye mkutano.
Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe na utoe chapisho la funzo.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) lvs 9-10 ¶10-11
MAISHA YA MKRISTO
“Onyesha Unyenyekevu na Kiasi Kama Kristo”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha kila video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 36
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 119 na Sala