Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Oktoba uku. 6
  • Oktoba 22-28

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Oktoba 22-28
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Oktoba uku. 6

Oktoba 22-28

YOHANA 15-17

  • Wimbo 129 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Ninyi Si Sehemu ya Ulimwengu”: (Dak. 10)

    • Yoh 15:19—Wafuasi wa Yesu “si sehemu ya ulimwengu” (“ulimwengu” habari za utafiti Yoh 15:19, nwtsty)

    • Yoh 15:21—Wafuasi wa Yesu wanachukiwa kwa sababu ya jina lake (“kwa ajili ya jina langu” habari za utafiti Yoh 15:21, nwtsty)

    • Yoh 16:33—Wafuasi wa Yesu wanaweza kuushinda ulimwengu kwa kumwiga Yesu (it-1 516)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Yoh 17:21-23—Ni katika maana gani wafuasi wa Yesu walipaswa kuwa “kitu kimoja”? (“kimoja” habari za utafiti Yoh 17:21, nwtsty; “wakamilishwe wawe kitu kimoja” habari za utafiti Yoh 17:23, nwtsty)

    • Yoh 17:24—“Kuwekwa msingi wa ulimwengu” ni nini? (“msingi wa ulimwengu” habari za utafiti Yoh 17:24, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 17:1-14

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.

  • Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe na utoe chapisho la funzo.

  • Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) fg somo la 14 ¶3-4

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 101

  • “Upendo Unawatambulisha Wakristo wa Kweli—Linda Umoja Wetu Wenye Thamani”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video ‘Iweni na Upendo Kati Yenu Wenyewe’—Usiweke Hesabu ya Ubaya. Kadiri wakati unavyoruhusu, zungumzieni sanduku lenye kichwa “Tafakari Mfano Huu wa Biblia.”

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 40

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 106 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki