Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Oktoba uku. 7
  • Oktoba 29–Novemba 4

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Oktoba 29–Novemba 4
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Oktoba uku. 7

Oktoba 29–Novemba 4

YOHANA 18-19

  • Wimbo 54 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yesu Alitoa Ushahidi Kuhusu Kweli”: (Dak. 10)

    • Yoh 18:36—Kweli inahusu hasa Ufalme wa Kimasihi

    • Yoh 18:37—Yesu alitoa ushahidi kuhusu kweli ya makusudi ya Mungu (“nitoe ushahidi kuhusu,” “kweli” habari za utafiti Yoh 18:37, nwtsty)

    • Yoh 18:38a—Inaonekana kwamba Pilato alidhihaki wazo la kwamba kunaweza kuwa na kweli kwa ujumla (“Kweli ni nini?” habari za utafiti Yoh 18:38a, nwtsty)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • Yoh 19:30—Kabla tu ya Yesu kufa kwa nini alisema “Imetimizwa!”? (w10 8/15 11 ¶15)

    • Yoh 19:31—Ni uthibitisho gani unaoonyesha kwamba Yesu alikufa Nisani 14, 33 W.K.? (“siku hiyo ya Sabato ilikuwa kuu” habari za utafiti Yoh 19:31, nwtsty)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 18:1-14

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwonyeshe mwenye nyumba jw.org.

  • Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe na uweke msingi wa ziara inayofuata.

  • Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) fg somo la 14 ¶6-7

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 46

  • “Upendo Unawatambulisha Wakristo wa Kweli—Shangilia Pamoja na Kweli”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video ‘Iweni na Upendo Kati Yenu Wenyewe’—Shangilia Pamoja na Kweli, Usishangilie Juu ya Ukosefu wa Uadilifu. Kadiri wakati unavyoruhusu, zungumzieni sanduku lenye kichwa “Tafakari Mfano Huu wa Biblia.”

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 41

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 32 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki