Oktoba 29–Novemba 4
YOHANA 18-19
Wimbo 54 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Yesu Alitoa Ushahidi Kuhusu Kweli”: (Dak. 10)
Yoh 18:36—Kweli inahusu hasa Ufalme wa Kimasihi
Yoh 18:37—Yesu alitoa ushahidi kuhusu kweli ya makusudi ya Mungu (“nitoe ushahidi kuhusu,” “kweli” habari za utafiti Yoh 18:37, nwtsty)
Yoh 18:38a—Inaonekana kwamba Pilato alidhihaki wazo la kwamba kunaweza kuwa na kweli kwa ujumla (“Kweli ni nini?” habari za utafiti Yoh 18:38a, nwtsty)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 19:30—Kabla tu ya Yesu kufa kwa nini alisema “Imetimizwa!”? (w10 8/15 11 ¶15)
Yoh 19:31—Ni uthibitisho gani unaoonyesha kwamba Yesu alikufa Nisani 14, 33 W.K.? (“siku hiyo ya Sabato ilikuwa kuu” habari za utafiti Yoh 19:31, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Yoh 18:1-14
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwonyeshe mwenye nyumba jw.org.
Ziara ya Kurudia ya Tatu: (Isizidi dak. 3) Chagua andiko lako mwenyewe na uweke msingi wa ziara inayofuata.
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 6) fg somo la 14 ¶6-7
MAISHA YA MKRISTO
“Upendo Unawatambulisha Wakristo wa Kweli—Shangilia Pamoja na Kweli”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video ‘Iweni na Upendo Kati Yenu Wenyewe’—Shangilia Pamoja na Kweli, Usishangilie Juu ya Ukosefu wa Uadilifu. Kadiri wakati unavyoruhusu, zungumzieni sanduku lenye kichwa “Tafakari Mfano Huu wa Biblia.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 41
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 32 na Sala