HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YOHANA 18-19
Yesu Alitoa Ushahidi Kuhusu Kweli
Yesu alitoa ushahidi kuhusu kweli ya makusudi ya Mungu
KWA MANENO: Alihubiri kwa bidii kweli kuhusu Ufalme wa Mungu
KWA MATENDO: Maisha yake yalithibitisha neno la Mungu la kinabii kuwa la kweli
Sisi tukiwa wanafunzi wa Yesu, tunatoa ushahidi kuhusu kweli
KWA MANENO: Hata tunapodhihakiwa, tunahubiri kwa bidii habari njema ya Ufalme wa Mungu uliosimamishwa, Kristo akiwa mfalme wake
KWA MATENDO: Kupitia msimamo wetu wa kutounga mkono upande wowote na mwenendo wa Kikristo tunaonyesha kwamba tunaunga mkono ufalme wa Yesu