Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Oktoba uku. 7
  • Yesu Alitoa Ushahidi Kuhusu Kweli

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yesu Alitoa Ushahidi Kuhusu Kweli
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Habari Zinazolingana
  • Wakristo Huabudu kwa Roho na Kweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2002
  • Yesu Kristo, Yule Shahidi Mwaminifu
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
  • Usisahau Kamwe Wewe Ni Shahidi!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1984
  • Kweli
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Oktoba uku. 7

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | YOHANA 18-19

Yesu Alitoa Ushahidi Kuhusu Kweli

18:36-38a

Yesu alitoa ushahidi kuhusu kweli ya makusudi ya Mungu

  • KWA MANENO: Alihubiri kwa bidii kweli kuhusu Ufalme wa Mungu

  • KWA MATENDO: Maisha yake yalithibitisha neno la Mungu la kinabii kuwa la kweli

Sisi tukiwa wanafunzi wa Yesu, tunatoa ushahidi kuhusu kweli

  • KWA MANENO: Hata tunapodhihakiwa, tunahubiri kwa bidii habari njema ya Ufalme wa Mungu uliosimamishwa, Kristo akiwa mfalme wake

  • KWA MATENDO: Kupitia msimamo wetu wa kutounga mkono upande wowote na mwenendo wa Kikristo tunaonyesha kwamba tunaunga mkono ufalme wa Yesu

JIULIZE, ‘Je, ni wazi kwa watu wanaonizunguka kwamba ninatanguliza hasa kutoa ushahidi kuhusu kweli?’

Dada wakimwonyesha mwanamke video; ndugu akimhubiria mtu kwenye gereji; wazazi na watoto wakifurahia ibada ya familia; dada akimhubiria mfanyakazi mwenzake
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki