Desemba 10-16
MATENDO 12-14
Wimbo 60 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Barnaba na Paulo Wafanya Wanafunzi Katika Maeneo ya Mbali”: (Dak. 10)
Mdo 13:2, 3—Yehova alichagua Barnaba na Sauli wafanye kazi ya pekee (bt 86 ¶4)
Mdo 13:12, 48; 14:1—Kazi yao ya jasho ilikuwa na matokeo mazuri (bt 95 ¶5)
Mdo 14:21, 22—Barnaba na Paulo waliwaimarisha wanafunzi wapya (w14 9/15 13 ¶4-5)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Mdo 12:21-23—Tunajifunza nini kutokana na kilichompata Herode? (w08 5/15 32 ¶7)
Mdo 13:9—Kwa nini Sauli “[aliitwa] pia Paulo”? (“Sauli, aitwaye pia Paulo” na “Paulo” habari za utafiti Mdo 13:9, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mdo 12:1-17
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo.
Video ya Ziara ya Kurudia ya Kwanza: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Hotuba: (Isizidi dak. 6) bt 78-79 ¶8-9—Kichwa: Sali kwa Ajili ya Waabudu Wenzako.
MAISHA YA MKRISTO
“Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuwasaidia Watu Wenye ‘Mwelekeo Unaofaa’ Kuwa Wanafunzi”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Yehova Mungu Atakusaidia.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 45
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 55 na Sala