Januari 7-13
MATENDO 21-22
Wimbo 55 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mapenzi ya Yehova na Yatendeke”: (Dak. 10)
Mdo 21:8-12—Wakristo wenzake walimwomba Paulo asipande kwenda Yerusalemu kwa sababu ya hatari ambayo angekabili (bt 177-178 ¶15-16)a
Mdo 21:13—Paulo aliazimia kuendelea kufanya mapenzi ya Yehova (bt 178 ¶17)
Mdo 21:14—Baada ya kuona kwamba Paulo alikuwa ameazimia, akina ndugu waliacha kumkataza (bt 178 ¶18)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
Mdo 21:23, 24—Ikiwa Wakristo hawakuwa chini ya Sheria ya Musa, kwa nini wazee jijini Yerusalemu walimpa Paulo mwongozo huu? (bt 184-185 ¶10-12)
Mdo 22:16—Dhambi za Paulo zingewezaje kuoshwa? (“uoshe dhambi zako kwa kuliitia jina lake” habari za utafiti Mdo 22:16, nwtsty)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mdo 21:1-19 (th somo la 5)b
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Utangulizi Wenye Matokeo, kisha mzungumzie somo 1 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w10 2/1 13 ¶2–14 ¶2—Kichwa: Je, Wakristo Wanapaswa Kushika Sabato ya Kila Juma? (th somo la 1)c
MAISHA YA MKRISTO
“Yehova Alitufundisha Kuwalea Watoto Wetu”: (Dak 15) Mazungumzo. Onyesha video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 49
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 70 na Sala
b c Taarifa: Kuanzia daftari hili, kwa ajili ya kila mgawo wa mwanafunzi tutatia katika mabano somo hususa ambalo mwanafunzi anapaswa kufanyia kazi kutoka katika broshua Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha (th).
a Ufupisho wa Machapisho: bt = “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu; nwtsty = Toleo la Funzo la Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya; w = Mnara wa Mlinzi; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; nwt = Tafsiri ya Ulimwengu Mpya—Toleo la 2017; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu.