Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Aprili uku. 2
  • Aprili 1-7

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Aprili 1-7
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Aprili uku. 2

Aprili 1-7

1 WAKORINTHO 7-9

  • Wimbo 136 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Useja Ni Zawadi”: (Dak. 10)

    • 1Ko 7:32—Wakristo waseja wanaweza kumtumikia Yehova bila mahangaiko yanayohusiana na maisha ya ndoa (w11 1/15 17-18 ¶3)a

    • 1Ko 7:33, 34—Wakristo waliofunga ndoa “huhangaikia mambo ya ulimwengu” (w08 7/15 27 ¶1)

    • 1Ko 7:37, 38—Wakristo wanaobaki waseja ili wafuatilie miradi ya kiroho ‘watafanya vema zaidi’ kuliko Wakristo waliofunga ndoa (w96 10/15 12-13 ¶14)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • 1Ko 7:11—Ni katika hali zipi ambazo huenda Mkristo akaamua kutengana na mwenzi wake? (lvs 251)

    • 1Ko 7:36—Kwa nini Wakristo wanapaswa kusubiri wapite “upeo wa ujana” kabla ya kufunga ndoa? (w00 7/15 31 ¶2)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Ko 8:1-13 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kutoa Utangulizi Mzuri wa Maandiko, kisha mzungumzie somo la 4 la broshua Kufundisha.

  • Hotuba: (Isizidi dak. 5) w12 11/15 20—Kichwa: Je, Wale Wanaoamua Kubaki Waseja Wanapata Zawadi ya Useja Kimuujiza? (th somo la 12)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 37

  • Tumia Useja kwa Njia Inayofaa: (Dak. 15) Onyesha video. Kisha uliza maswali yafuatayo: Wakristo wengi waseja wanakabili changamoto gani? (1Ko 7:39) Kwa nini binti ya Yeftha ni mfano mzuri? Yehova anawapa nini wale wanaotembea kwa utimilifu? (Zb 84:11) Washiriki wa kutaniko wanaweza kuwatiaje moyo waseja? Ni mapendeleo gani ya utumishi ambayo Wakristo waseja wanaweza kufikia?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 61

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 42 na Sala

a Ufupisho wa Machapisho: w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; km = Huduma Yetu ya Ufalme; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala; it = Insight On the Scriptures; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki