Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Aprili uku. 3
  • Yehova Ni Mwaminifu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Ni Mwaminifu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Habari Zinazolingana
  • Yesu Kristo
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
  • Vichwa vya Mazungumzo ya Biblia
    Vichwa vya Mazungumzo ya Biblia
  • Tunapata Thawabu Tunapokuwa Washikamanifu kwa Yehova
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
  • Kweli
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Aprili uku. 3

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 1 WAKORINTHO 10-13

Yehova Ni Mwaminifu

10:13

Dada akifikiria kuhusu jaribu, anasali kulihusu, kisha anajiunga baadaye na dada mwingine katika huduma ya shambani

Huenda Yehova akachagua kutuondolea jaribu; hata hivyo, mara nyingi yeye huandaa “njia ya kutokea” kwa kutupa kile tunachohitaji ili tuweze kuvumilia jaribu.

  • Anaweza kutuliza akili, moyo, na hisia zetu kupitia Neno lake, roho yake takatifu, na chakula cha kiroho anachoandaa.​—Mt 24:45; Yoh 14:16, maelezo ya chini; Ro 15:4

  • Anaweza kutuongoza kupitia roho yake takatifu, ambayo inaweza kutusaidia tukumbuke masimulizi na kanuni za Biblia, kisha tutambue hatua za hekima tunazopaswa kuchukua.​—Yoh 14:26

  • Anaweza kutumia malaika kutusaidia.​—Ebr 1:14

  • Anaweza kutusaidia kupitia waabudu wenzetu.​—Kol 4:11

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki