Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Aprili uku. 3
  • Aprili 8-14

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Aprili 8-14
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Aprili uku. 3

Aprili 8-14

1 WAKORINTHO 10-13

  • Wimbo 30 na Sala

  • Utangulizi (Usizidi dak. 3)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yehova Ni Mwaminifu”: (Dak. 10)

    • 1Ko 10:13—Yehova hachagui majaribu yanayotupata (w17.02 29-30)

    • 1Ko 10:13—Majaribu tunayokabili ni “yale yaliyo ya kawaida kwa watu”

    • 1Ko 10:13—Yehova atatusaidia kuvumilia majaribu yoyote tukimtegemea

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)

    • 1Ko 10:8—Kwa nini mstari huu unasema kwamba Waisraeli 23,000 walikufa siku moja kwa kufanya uasherati ilhali Hesabu 25:9 inasema kwamba watu 24,000 walikufa? (w04 4/1 29)

    • 1Ko 11:5, 6, 10—Je, mhubiri wa Ufalme mwanamke anahitaji kufunika kichwa anapoongoza funzo la Biblia mhubiri mwanamume akiwepo? (w15 2/15 30)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?

    • Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Ko 10:1-17 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 3)

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mwonyeshe chapisho kutoka kwenye Sanduku Letu la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 6)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 25

  • “Viungo . . . Ni Muhimu Sana” (1Ko 12:22): (Dak. 10) Onyesha video.

  • “Utajiandaa Jinsi Gani kwa Ajili ya Ukumbusho?”: (Dak. 5) Hotuba. Watie moyo wote watumie kipindi cha Ukumbusho kutafakari na kuongeza uthamini wao kwa upendo ambao Yehova na Yesu wametuonyesha.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya  62

  • Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)

  • Wimbo 31 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki