Mei 6-12
2 WAKORINTHO 4-6
Wimbo 128 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Hatufi Moyo”: (Dak. 10)
2Ko 4:16—“Mtu tuliye kwa ndani anafanywa upya siku kwa siku” na Yehova (w04 8/15 25 ¶16-17)a
2Ko 4:17—Kuteseka kwetu kwa sasa ni kwa “muda mfupi na ni [kwepesi]” (it-1 724-725)
2Ko 4:18—Tunapaswa kukazia fikira baraka za wakati ujao za Ufalme
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
2Ko 4:7—“Hazina hii katika vyombo vya udongo” ni nini? (w12 2/1 28-29)
2Ko 6:13—Tunaweza kutii jinsi gani himizo la ‘kufungua kabisa mioyo yetu’? (w09 11/15 21 ¶7)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 2Ko 4:1-15 (th somo la 12)
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kusoma kwa Usahihi, kisha mzungumzie somo la 5 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w04 7/1 30-31—Kichwa: Je, Ni Sawa kwa Mkristo Aliyebatizwa Kuanzisha Uchumba na Mhubiri Ambaye Hajabatizwa? (th somo la 7)
MAISHA YA MKRISTO
Ninafanya Yote Niwezayo: (Dak. 8.) Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Ndugu Foster alijitoaje kikamili kwa Yehova alipokuwa kijana mwenye nguvu? Hali zake zilibadilikaje? Anajitoaje kikamili kwa Yehova wakati huu ambapo hali zake zimebadilika? Umejifunza nini kutokana na simulizi lake?
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 7)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 65
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 65 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: w = Mnara wa Mlinzi—Toleo la Funzo; it = Insight On the Scriptures; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; kr = Ufalme wa Mungu Unatawala; g = Amkeni!; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?