Mei 13-19
2 WAKORINTHO 7-10
Wimbo 109 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Huduma Yetu ya Kutoa Msaada”: (Dak. 10)
2Ko 8:1-3—Wamakedonia walichangia “kupita uwezo wao” ili kuwasaidia ndugu zao wa Yudea (w98 11/1 25 ¶1; kr 209 ¶1)
2Ko 8:4—Kuwasaidia Wakristo wenye uhitaji ni sehemu ya “huduma [yetu] ya kutoa msaada” (kr 209-210 ¶4-6)
2Ko 9:7—“Mungu humpenda mtoaji mchangamfu” (kr 196 ¶10)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
2Ko 9:15—“Zawadi [ya Mungu] ya bure isiyoelezeka” ni nini? (w16.01 12 ¶2)
2Ko 10:17—‘Kujisifu katika Yehova’ kunamaanisha nini? (g99 7/8 20-21)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 2Ko 7:1-12 (th somo la 12)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 2)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 4)
MAISHA YA MKRISTO
“Jinsi Huduma Yetu ya Kutoa Msaada Ilivyowanufaisha Wakristo Katika Visiwa vya Karibea”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Upendo Waonyeshwa Kupitia Kazi ya Kutoa Msaada Visiwani.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 66
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 94 na Sala