Julai 8-14
1 WATHESALONIKE 1-5
Wimbo 90 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Endeleeni Kutiana Moyo na Kujengana”: (Dak. 10)
[Onyesha video ya Utangulizi wa 1 Wathesalonike.]
1Th 5:11-13—“Mwafikirie kwa njia inayozidi ile ya kawaida” wale wanaoongoza miongoni mwenu (w11 6/15 26 ¶12; 28 ¶19)
1Th 5:14—Wafarijini wale walioshuka moyo na kuwasaidia walio dhaifu (w17.10 10 ¶13; w15 2/15 9 ¶16)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
1Th 4:3-6—Yule anayejihusisha na maadili mapotovu, ‘anamdhulumu ndugu yake’ jinsi gani? (it-1 863-864 ¶9)
1Th 4:15-17—Ni nani ‘watakaonyakuliwa katika mawingu ili wakutane na Bwana hewani,’ na hilo linatukiaje? (w15 7/15 18-19 ¶14-15)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Th 3:1-13 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 2) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 3)
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 4)
MAISHA YA MKRISTO
Mapainia Wanaotia Moyo: (Dak. 9) Onyesha video Uwezo wa Mapainia wa Kusaidia. Kisha mjibu maswali yafuatayo: Mapainia wanaweza kufanya nini ili kuwatia moyo wengine kutanikoni? Umetiwaje moyo na mapainia katika kutaniko lenu?
Mifano Mizuri Inayotutia Moyo: (Dak. 6) Onyesha video Lazima “Tukimbie kwa Uvumilivu”—Iga Mifano Mizuri. Kisha mjibu maswali yafuatayo: Dada huyo alikabili changamoto gani? Alifanya nini ili atiwe moyo?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 74
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 100 na Sala