Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Julai uku. 3
  • “Endeleeni Kutiana Moyo na Kujengana”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Endeleeni Kutiana Moyo na Kujengana”
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
  • Habari Zinazolingana
  • Endeleeni Kutiana Moyo Kila Siku
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
  • Endeleeni Kutiana Moyo “na Kufanya Hivyo Zaidi”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
  • Tianeni Moyo
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Tianeni Moyo
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2019
mwb19 Julai uku. 3
Dada mwenye umri mkubwa akiwatilia kahawa dada wawili wenye umri mdogo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 1 WATHESALONIKE 1-5

“Endeleeni Kutiana Moyo na Kujengana”

5:11-14

Kila Mkristo ana uwezo wa kuwatia moyo wengine. Kwa mfano, tunawatia moyo Wakristo wenzetu tunapohudhuria mikutano kwa uaminifu na kushiriki huduma, na huenda tukawa tunafanya hivyo “licha ya kupambana sana” kwa sababu ya matatizo ya afya au matatizo mengine. (1Th 2:2, maelezo ya chini) Isitoshe, tukitafakari na kufanya utafiti mapema huenda tukazungumza kwa njia ambayo itawafariji waabudu wenzetu wanaohitaji kutiwa moyo.

Unaweza kupata wapi habari zinazofaa za jinsi ya kumtia moyo mtu anayekabili changamoto fulani hususa?

Ungependa kumtia moyo nani katika kutaniko lenu?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki