Julai 22-28
1 TIMOTHEO 1-3
Wimbo 103 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Jitahidi Kufikia Kazi Njema”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa 1 Timotheo.]
1Ti 3:1—Akina ndugu wanatiwa moyo wajitahidi kufikia kuwa mwangalizi (w16.08 21 ¶3)
1Ti 3:13—Akina ndugu wanaotumikia vizuri wanapata baraka nyingi (km 9/78 4 ¶7)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
1Ti 1:4—Kwa nini Paulo alimwonya Timotheo kuhusu kuchunguza-chunguza ukoo? (it-1 914-915)
1Ti 1:17—Kwa nini Yehova pekee ndiye anaweza kuitwa “Mfalme wa umilele”? (cl 12 ¶15)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 1Ti 2:1-15 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 2)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) lvs 47-48 ¶6-7 (th somo la 6)
MAISHA YA MKRISTO
Wafanyakazi Vijana Huko Warwick Wamheshimu Yehova: (Dak. 6) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha zungumzieni maswali yafuatayo:
Ndugu na dada vijana walisaidiaje ujenzi wa Betheli ya Warwick, na walinufaikaje?
Ndugu na dada vijana kutanikoni wana fursa zipi za kumheshimu Yehova?
“Unaweza Kujifunza Nini Kutoka Kwao?”: (Dak. 9) Mazungumzo. Onyesha video Waheshimu Ndugu Wenye Uzoefu.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 76
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 115 na Sala