HAZINA ZA NENO LA MUNGU | 1 TIMOTHEO 1-3
Jitahidi Kufikia Kazi Njema
Inafaa kwa akina ndugu kuanza kujitahidi kufikia mapendeleo tangu wanapokuwa na umri mdogo. Hilo litawasaidia kuzoezwa na kuonyesha wazi kwamba wanastahili kupendekezwa kuwa watumishi wa huduma wanapokua. (1Ti 3:10) Ndugu anaweza kufanya nini ili afikie mapendeleo? Kwa kusitawisha na kuonyesha sifa zifuatazo:
Kujidhabihu.—km 7/13 2-3 ¶2
Hali ya Kiroho.—km 7/13 3 ¶3
Kutegemeka na uaminifu.—km 7/13 3 ¶4