Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb22 Novemba uku. 6
  • Kwa Nini Wakristo Wanapaswa Kujitahidi Kufikia Mapendeleo?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kwa Nini Wakristo Wanapaswa Kujitahidi Kufikia Mapendeleo?
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Habari Zinazolingana
  • Akina Dada Wanaweza Kufanya Nini Ili Kujitoa Zaidi?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Jinsi Unavyoweza Kufikia Miradi Yako ya Kiroho
    Huduma ya Ufalme—2006
  • “Mume Wake Ni Mtu Anayejulikana Malangoni”
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Sitawisha Sifa Zinazompendeza Mungu—Imani
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
mwb22 Novemba uku. 6

MAISHA YA MKRISTO

Kwa Nini Wakristo Wanapaswa Kujitahidi Kufikia Mapendeleo?

Ndugu na dada hujitahidi kufikia miradi ya kiroho, kama vile upainia, utumishi wa Betheli, na ujenzi wa Majumba ya Ufalme. Isitoshe, akina ndugu hujitahidi kufikia kuwa waangalizi. (1Ti 3:1) Je, hilo linamaanisha Wakristo wanapaswa kujitahidi kufikia pendeleo fulani kwa sababu wanafikiri litawafanya kuwa watu wa maana au wenye cheo fulani?

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA KWA NINI UJITAHIDI KUSTAHILI MAPENDELEO? (1TI 3:1), KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

Maandiko yafuatayo yanaweza kutusaidiaje kufahamu sababu tatu za kujitahidi kustahili mapendeleo?

  • Mt 5:14-16

  • 1Ti 4:15

  • Ebr 5:14–6:1

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki