Oktoba 28–Novemba 3
2 PETRO 1-3
Wimbo 114 na Sala
Utangulizi (Usizidi dak. 3)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Weka Karibu Akilini Kuwapo kwa Siku ya Yehova”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa 2 Petro.]
2Pe 3:9, 10—Siku ya Yehova haitachelewa (w06 12/15 27 ¶11)
2Pe 3:11, 12—“Fikirieni mnapaswa kuwa watu wa aina gani” (w06 12/15 19 ¶18)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 8)
2Pe 1:19—“Nyota ya mchana” ni nani, alichomoza lini, na tunawezaje kuwa na uhakika kwamba hilo lilitokea? (w08 11/15 22 ¶2)
2Pe 2:4—“Tartaro” ni nini, na malaika waasi walitupwa humo lini? (w08 11/15 22 ¶3)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini kumhusu Yehova?
Ni hazina gani nyingine za kiroho ambazo ulipata katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) 2Pe 1:1-15 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Onyesha video, kisha zungumzeni kuihusu.
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 7)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) bhs 154-155 ¶3-4 (th somo la 13)
MAISHA YA MKRISTO
“Unalithamini Neno la Mungu Kadiri Gani?”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Walithamini Biblia—Kisehemu (William Tyndale).
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 88 ¶12-19
Pitia Mambo Makuu Ambayo Mmejifunza na Mtakayojifunza Juma Linalofuata (Dak. 3)
Wimbo 49 na Sala