Januari 27–Februari 2
MWANZO 9-11
Wimbo 101 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Dunia Yote Iliendelea Kuwa na Lugha Moja”: (Dak. 10)
Mwa 11:1-4—Baadhi ya watu waliamua kujenga jiji na mnara ili kupinga mapenzi ya Mungu (it-1 239; it-2 202 ¶2)
Mwa 11:6-8—Yehova alivuruga lugha yao (it-2 202 ¶3)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 9:20-22, 24, 25—Huenda ni kwa nini Noa alimlaani Kanaani badala ya Hamu? (it-1 1023 ¶4)
Mwa 10:9, 10—Ni kwa njia gani Nimrodi alikuwa “mwindaji hodari aliyempinga Yehova”? (it-2 503)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 10:6-32 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia ya Pili: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Ni nini kinachoonyesha kwamba wahubiri hao walijiandaa pamoja kabla ya ziara hiyo ya kurudia? Ndugu huyo alitumiaje chapisho lililo katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia kuanzisha funzo la Biblia?
Ziara ya Kurudia ya Pili: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 4)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la ziara ya kurudia ya pili, kisha uanzishe funzo la Biblia kwa kutumia kitabu Biblia Inatufundisha. (th somo la 2)
MAISHA YA MKRISTO
“Uwe Mfanyakazi Stadi”: (Dak. 15) Mazungumzo yakiongozwa na mwangalizi wa utumishi.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 101
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 56 na Sala