Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Aprili uku. 4
  • Aprili 13-19

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Aprili 13-19
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Aprili uku. 4

Aprili 13-19

MWANZO 31

  • Wimbo 112 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Yakobo na Labani Wafanya Agano la Amani”: (Dak. 10)

    • Mwa 31:44-46—Yakobo na Labani walitengeneza rundo la mawe halafu wakala mlo wa kufanya agano juu yake (it-1 883 ¶1)a

    • Mwa 31:47-50—Waliita mahali hapo Galeedi na Mnara wa Mlinzi (it-2 1172)

    • Mwa 31:51-53—Waliahidi kwamba watadumisha amani kati yao

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 31:19—Huenda ni sababu gani iliyomfanya Raheli aibe sanamu za terafimu zilizokuwa za baba yake? (it-2 1087-1088)

    • Mwa 31:41, 42—Mfano wa Yakobo unatufundisha nini kuhusiana na jinsi ya kushughulika na waajiri ambao “ni wagumu kupendeza”? (1Pe 2:18; w13 3/15 21 ¶8)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Mwa 31:1-18 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji maswali yafuatayo: Dada huyo alionyeshaje jinsi ya kutumia andiko hilo waziwazi? Aliwekaje msingi wa ziara ya kurudia?

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 4)

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa broshua Habari Njema na uanzishe funzo la Biblia, ukitumia somo la 5. (th somo la 8)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 77

  • Watie Moyo Wasiotenda: (Isizidi dak. 20) Hotuba itolewe na mzee. Onyesha video yenye kichwa Yehova Anawajali Kondoo Wake. Baada ya video, pitia kwa uchangamfu mambo machache makuu kwenye ukurasa wa 14 wa broshua Mrudie Yehova.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 111 ¶1-9

  • Umalizio (Usizidi dak. 3)

  • Wimbo 146 na Sala

a Ufupisho wa Machapisho: bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; it = Insight on the Scriptures; w = Mnara wa Mlinzi; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu; fg = Habari Njema Kutoka kwa Mungu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki