HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MWANZO 31
Yakobo na Labani Wafanya Agano la Amani
Kwa nini Yakobo na Labani walitengeneza rundo la mawe?
Lilikuwa ushahidi kwa watu wote waliopita hapo kuhusu agano la amani walilokuwa wamefanya
Liliwakumbusha kwamba Yehova alikuwa akitazama kuona ikiwa wangedumisha agano lao la amani
Leo, Yehova anatarajia watu wake wawe na amani miongoni mwao. Mambo haya matatu yatasaidiaje kudumisha amani au kuirudisha?
Kuzungumzia tatizo waziwazi.—Mt 5:23, 24
Kusamehe kwa hiari.—Kol 3:13
Kuwa na subira.—Ro 12:21