Juni 22-28
KUTOKA 1-3
Wimbo 7 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Nitakuwa Kile Ninachochagua Kuwa”: (Dak. 10)
[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Kutoka.]
Kut 3:13—Musa alitaka kujua mengi kuhusu yule aliyewakilishwa na jina Yehova (w13 3/15 25 ¶4)
Kut 3:14—Yehova huwa chochote anachohitaji kuwa ili kutimiza kusudi lake (kr 43, sanduku)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak.10)
Kut 2:10—Kwa nini inapatana na akili kuamini kwamba binti ya Farao alimlea Musa kama mtoto wake? (g04 4/8 6 ¶5)
Kut 3:1—Yethro alikuwa kuhani wa aina gani? (w04 3/15 24 ¶4)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 2:11-25 (th somo la 11)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 16)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa gazeti la karibuni linalozungumzia jambo ambalo limetokezwa na mwenye-nyumba. (th somo la 12)
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w02 6/15 11 ¶1-4—Kichwa: Kitu Chenye Thamani Kuliko Hazina za Misri. (th somo la 13)
MAISHA YA MKRISTO
Uwe Rafiki ya Yehova—Jina la Yehova: (Dak. 6) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha, ikiwezekana, waalike watoto uliowachagua jukwaani, na uwaulize: Ni nini maana ya jina la Yehova? Yehova aliumba nini? Yehova anaweza kukusaidiaje?
Jina la Mungu Latukuzwa Huko Skandinavia: (Dak. 9) Mazungumzo. Onyesho video. Kisha waulize wasikilizaji: Kwa nini jina la Mungu halikujulikana kabla ya karne ya 16? Jina Yehova lilianzaje kutumiwa katika Skandinavia? Kwa nini unaipenda Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 120
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 104 na Sala