Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Juni uku. 6
  • Juni 22-28

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Juni 22-28
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Juni uku. 6

Juni 22-28

KUTOKA 1-3

  • Wimbo 7 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Nitakuwa Kile Ninachochagua Kuwa”: (Dak. 10)

    • [Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa Kutoka.]

    • Kut 3:13—Musa alitaka kujua mengi kuhusu yule aliyewakilishwa na jina Yehova (w13 3/15 25 ¶4)

    • Kut 3:14—Yehova huwa chochote anachohitaji kuwa ili kutimiza kusudi lake (kr 43, sanduku)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak.10)

    • Kut 2:10—Kwa nini inapatana na akili kuamini kwamba binti ya Farao alimlea Musa kama mtoto wake? (g04 4/8 6 ¶5)

    • Kut 3:1—Yethro alikuwa kuhani wa aina gani? (w04 3/15 24 ¶4)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 2:11-25 (th somo la 11)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 16)

  • Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa gazeti la karibuni linalozungumzia jambo ambalo limetokezwa na mwenye-nyumba. (th somo la 12)

  • Hotuba: (Isizidi dak. 5) w02 6/15 11 ¶1-4​—Kichwa: Kitu Chenye Thamani Kuliko Hazina za Misri. (th somo la 13)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 2

  • Uwe Rafiki ya Yehova—Jina la Yehova: (Dak. 6) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha, ikiwezekana, waalike watoto uliowachagua jukwaani, na uwaulize: Ni nini maana ya jina la Yehova? Yehova aliumba nini? Yehova anaweza kukusaidiaje?

  • Jina la Mungu Latukuzwa Huko Skandinavia: (Dak. 9) Mazungumzo. Onyesho video. Kisha waulize wasikilizaji: Kwa nini jina la Mungu halikujulikana kabla ya karne ya 16? Jina Yehova lilianzaje kutumiwa katika Skandinavia? Kwa nini unaipenda Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 120

  • Umalizio (Usizidi dak. 3)

  • Wimbo 104 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki