Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Julai uku. 2
  • Julai 6-12

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Julai 6-12
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Julai uku. 2

Julai 6-12

KUTOKA 6-7

  • Wimbo 150 na Sala

  • Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

  • “Sasa Utaona Mambo Nitakayomtendea Farao”: (Dak. 10)

    • Kut 6:1—Musa angeona “mkono wenye nguvu” wa Yehova

    • Kut 6:6, 7—Waisraeli wangeokolewa (it-2 436 ¶3)a

    • Kut 7:4, 5—Farao na Wamisri wangejua Yehova ni nani (it-2 436 ¶1-2)

  • Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)

    • Kut 6:3—Ni katika maana gani Yehova hakufanya jina lake lijulikane kwa Abrahamu, Isaka, na Yakobo? (it-1 78 ¶3-4)

    • Kut 7:1—Musa alikuwaje “kama Mungu” kwa Farao, na Haruni alikuwaje kama “nabii” wa Musa? (it-2 435 ¶5)

    • Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 6:1-15 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

  • Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kujitahidi Kugusa Moyo, kisha mzungumzie somo la 19 la broshua Kufundisha.

  • Hotuba: (Isizidi dak. 5) w15 1/15 9 ¶6-7—Kichwa: Mshukuru Yehova Kila Siku. (th somo la 19)

MAISHA YA MKRISTO

  • Wimbo 45

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 122

  • Umalizio (Usizidi dak. 3)

  • Wimbo 42 na Sala

a Ufupisho wa Machapisho: bhs = Biblia Inatufundisha Nini; it = Insight on the Scriptures; w = Mnara wa Mlinzi; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki