Julai 6-12
KUTOKA 6-7
Wimbo 150 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Sasa Utaona Mambo Nitakayomtendea Farao”: (Dak. 10)
Kut 6:1—Musa angeona “mkono wenye nguvu” wa Yehova
Kut 6:6, 7—Waisraeli wangeokolewa (it-2 436 ¶3)a
Kut 7:4, 5—Farao na Wamisri wangejua Yehova ni nani (it-2 436 ¶1-2)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 6:3—Ni katika maana gani Yehova hakufanya jina lake lijulikane kwa Abrahamu, Isaka, na Yakobo? (it-1 78 ¶3-4)
Kut 7:1—Musa alikuwaje “kama Mungu” kwa Farao, na Haruni alikuwaje kama “nabii” wa Musa? (it-2 435 ¶5)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 6:1-15 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kujitahidi Kugusa Moyo, kisha mzungumzie somo la 19 la broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w15 1/15 9 ¶6-7—Kichwa: Mshukuru Yehova Kila Siku. (th somo la 19)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 122
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 42 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: bhs = Biblia Inatufundisha Nini; it = Insight on the Scriptures; w = Mnara wa Mlinzi; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima.