Agosti 24-30
KUTOKA 19-20
Wimbo 88 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Zile Amri Kumi Zinakuhusuje?”: (Dak. 10)
Kut 20:3-7—Mheshimu Yehova, na umwabudu yeye peke yake (w89 11/15 6 ¶1)
Kut 20:8-11—Tanguliza mambo ya kiroho maishani mwako
Kut 20:12-17—Waheshimu wanadamu wenzako (w89 11/15 6 ¶2-3)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 19:5, 6—Kwa nini taifa la kale la Israeli lilipoteza nafasi ya kuwa “ufalme wa makuhani”? (it-2 687 ¶1-2)
Kut 20:4, 5—Yehova ‘anawaadhibuje watoto kwa sababu ya makosa ya baba zao’? (w04 3/15 27 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 19:1-19 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwachie kadi ya mawasiliano ya jw.org. (th somo la 1)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 15)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) bhs 68 ¶17-19 (th somo la 8)
MAISHA YA MKRISTO
Nifanye Nini Ili Nipate Uhuru Zaidi?: (Dak. 6) Mazungumzo. Onyesha video ya vibonzo kwenye ubao. Kisha uwaulize vijana waliohudhuria: Unaweza kufanya nini ili wazazi wako wakuamini? Unapaswa kufanya nini unapokosea? Kwa nini kuwaheshimu wazazi ni muhimu ikiwa unataka kupata uhuru zaidi?
Waheshimu Wazazi Wako Waliozeeka: (Dak. 9) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji: Ni changamoto gani zinazoweza kutokea wazazi wanapozeeka? Kwa nini washiriki wa familia wanapaswa kudumisha mawasiliano mazuri wanapoamua aina ya msaada watakaowapatia wazazi wao? Watoto wanaweza kuonyeshaje heshima wanapowatunza wazazi wao?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 129, sanduku “Kupigwa Mijeledi”
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 13 na Sala