Agosti 31–Septemba 6
KUTOKA 21-22
Wimbo 141 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Onyesha Una Maoni Kama ya Yehova Kuhusu Uhai”: (Dak. 10)
Kut 21:22, 23—Yehova anathamini uhai wa mtoto ambaye bado hajazaliwa (lvs 95 ¶16)
Kut 21:28, 29—Yehova anatarajia tuchukue tahadhari ili kudumisha usalama wetu na wa watu wengine (w10 4/15 29 ¶4)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 21:5, 6—Kulingana na mistari hii kujiweka wakfu kwa Yehova kunatunufaishaje? (w10 1/15 4 ¶4-5)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 21:1-21 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwalike kwenye mikutano. (th somo la 2)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Katika Jumba la Ufalme? (lakini usionyeshe video). (th somo la 20)
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w09 4/1 31—Kichwa: Yehova—Baba ya Wavulana Wasio na Baba. (th somo la 19)
MAISHA YA MKRISTO
Thamini Uhai Kama Yehova Anavyouthamini: (Dak. 10) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha uwaulize wasikilizaji: Ni matatizo gani yanayoweza kutokea wakati wa ujauzito? Kutoka 21:22, 23 inapaswa kuathirije maoni yetu kuhusu kutoa mimba? Kwa nini tunahitaji kuwa na imani na ujasiri ili kufanya uamuzi unaompendeza Yehova? Tumaini la ufufuo linatufariji kwa njia gani?
Faida za Kujiweka Wakfu: (Dak. 5) Hotuba inayotegemea Mnara wa Mlinzi la Januari 15, 2010, ukurasa wa 4, fungu la 4-7. Watie moyo wanafunzi wa Biblia wafanye maendeleo kufikia kujiweka wakfu na kubatizwa.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 130
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 15 na Sala