Septemba 7-13
KUTOKA 23-24
Wimbo 34 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Usiufuate Umati”: (Dak. 10)
Kut 23:1—Usieneze habari za uwongo (w18.08 4 ¶7-8)a
Kut 23:2—Usiongozwe na umati kutenda maovu (it-1 11 ¶3)
Kut 23:3—Usionyeshe upendeleo (it-1 343 ¶5)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 23:9—Yehova aliwasaidiaje Waisraeli kutambua umuhimu wa kuwafikiria wageni? (w16.10 9 ¶4)
Kut 23:20, 21—Ni uthibitisho gani unaounga mkono wazo la kwamba malaika anayetajwa katika mstari huu ni Mikaeli? (it-2 393)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 23:1-19 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 4) Mazungumzo. Onyesha video, kisha uwaliuze wasikilizaji maswali yafuatayo: Mhubiri alikaziaje fikira mambo waliyokubaliana na mwenye nyumba alipojibu kwa njia isiyo sahihi? Mhubiri angetoaje utangulizi wa toleo la watu wote la Mnara wa Mlinzi Na. 3 2020?
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha utoe utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? na uizungumzie (lakini usionyeshe video). (th somo la 1)
Hotuba: (Isizidi dak. 5) w16.05 30-31—Kichwa: Ni Nini Kinachoweza Kuwasaidia Wakristo Waamue Ikiwa Inafaa Kuwapa Zawadi au Bakshishi Wafanyakazi wa Serikali? (th somo la 14)
MAISHA YA MKRISTO
“Jihadhari Usieneze Habari za Uwongo”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video ya vibonzo kwenye ubao yenye kichwa Ninawezaje Kuacha Kupiga Porojo?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Lisizidi dak. 30) jy sura ya 131
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 145 na Sala
a Ufupisho wa Machapisho: wp = Mnara wa Mlinzi—Toleo la watu wote; bhs = Biblia Inatufundisha Nini?; w = Mnara wa Mlinzi; it = Insight On the Scriptures; jy = Yesu—Njia, Kweli, na Uzima; lvs = Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu; km = Huduma Yetu ya Ufalme!