Septemba 14-20
KUTOKA 25-26
Wimbo 18 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Kitu Muhimu Zaidi Katika Hema la Ibada”: (Dak. 10)
Kut 25:9—Yehova aliandaa kielelezo kwa ajili ya kujenga sanduku la agano (it-1 165)
Kut 25:21—Sanduku la Agano lilihifadhi mabamba matakatifu ya ushahidi (it-1 166 ¶2)
Kut 25:22—Sanduku la Agano lilihusianishwa na kuwepo kwa Mungu (it-1 166 ¶3)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 25:20—Huenda ni kwa nini makerubi waliokuwa juu ya kifuniko cha Sanduku la Agano walisujudu na kunyoosha mabawa yao? (it-1 432 ¶1)
Kut 25:30—Mkate wa wonyesho ulikuwa na umuhimu gani? (it-2 936)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 25:23-40 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video, kisha uwaulize wasikilizaji: Mhubiri alionyeshaje uchangamfu na hisia mwenzi? Mhubiri angewezaje kutoa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia?
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 8)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 11)
MAISHA YA MKRISTO
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 5) Onyesha video ya Septemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Lisizidi dak. 30) jy sura ya 132, sanduku “Atundikwe Mtini”
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 20 na Sala