Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Oktoba uku. 8
  • Kampeni ya Pekee ya Mwezi Novemba ya Kutangaza Ufalme wa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kampeni ya Pekee ya Mwezi Novemba ya Kutangaza Ufalme wa Mungu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Kampeni ya Pekee ya Kutangaza Ufalme wa Mungu Mwezi wa Septemba!
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Tangaza Habari Njema Kwamba Ulimwengu Mpya Uko Karibu!
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Mapendekezo ya Kuanzisha Mazungumzo
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Gawanya Trakti Habari za Ufalme Na. 35 kwa Kuieneza Sana
    Huduma Yetu ya Ufalme—1997
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Oktoba uku. 8
Ndugu na dada wakiwa kwenye mahubiri ya kigari wakizungumza na watu. Kigari kimoja kina ‘Mnara wa Mlinzi’ Na. 2 2020.

MAISHA YA MKRISTO

Kampeni ya Pekee ya Mwezi Novemba ya Kutangaza Ufalme wa Mungu

‘Mnara wa Mlinzi’ Na. 2 2020 wenye kichwa ‘Ufalme wa Mungu Ni Nini?’

Yesu alitangaza “habari njema ya Ufalme wa Mungu.” (Lu 4:43) Pia, aliwafundisha watu kusali kwa ajili ya Ufalme huo. (Mt 6:9, 10) Mwezi wa Novemba, tutakuwa na kampeni ya pekee ya kutangaza Ufalme wa Mungu. (Mt 24:14) Panga ratiba yako ili ushiriki kikamili katika kampeni hiyo. Wote watakaotumikia wakiwa mapainia wasaidizi wanaweza kuchagua kutimiza takwa la saa 30 au 50 mwezi huo.

Waonyeshe watu wengi kadiri iwezekanavyo andiko linalozungumzia Ufalme wa Mungu. Unapochagua andiko utakalosoma, zingatia dini ya watu katika eneo lako. Mtu akionyesha upendezi katika ziara ya kwanza, mpe nakala ya toleo la watu wote la Mnara wa Mlinzi Na. 2 2020. Kisha fuatia upendezi haraka iwezekanavyo, na ujaribu kuanzisha funzo la Biblia ukitumia chapisho lililo katika Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. Umebaki muda mfupi tu kabla ya Ufalme wa Mungu kupondaponda serikali zote zinazoupinga Ufalme huo. (Da 2:44; 1Ko 15:24, 25) Hivyo, acheni tutumie nafasi hii ya pekee kuonyesha kwamba tuko upande wa Yehova na Ufalme wake!

Yesu akiwa ameketi kwenye kiti chake cha ufalme mbinguni, akitawala akiwa mfalme juu ya dunia Paradiso.

Ufalme wa Mungu utaifanya dunia iwe Paradiso!

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki