Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Novemba uku. 3
  • Kusudi la Dhabihu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kusudi la Dhabihu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Dhabihu za Sifa Zinazompendeza Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Dhabihu Zilizompendeza Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Kutoa Dhabihu Ambazo Zinampendeza Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Jifunze Kutokana na ‘Ile Picha ya Kweli’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Novemba uku. 3
Picha: 1. Ng’ombe, kondoo, na mbuzi ambao watolewa kama dhabihu. 2. Yesu akiwa juu ya mti wa mateso.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MAMBO YA WALAWI 1-3

Kusudi la Dhabihu

1:3; 2:1, 12; 3:1

Waisraeli waliamriwa katika Sheria ya Musa watoe dhabihu, au matoleo. Dhabihu hizo zilimpendeza Yehova na zilimwakilisha Yesu na dhabihu ya fidia au faida zilizotokana na dhabihu hiyo.—Ebr 8:3-5; 9:9; 10:5-10.

  • Kama tu wanyama wote waliotolewa dhabihu walivyopaswa kuwa bila kasoro, Yesu alitoa mwili wake mkamilifu na usio na kasoro kuwa dhabihu.—1Pe 1:18, 19

  • Kama tu sehemu zote za dhabihu ya kuteketezwa zilivyopaswa kutolewa kwa Mungu, Yesu alijitoa kikamili kwa Yehova

  • Kama tu wale wanaotoa dhabihu ya ushirika inayokubalika walivyokuwa na amani pamoja na Mungu, watiwa-mafuta wanaoshiriki Mlo wa Jioni wa Bwana wana amani pamoja na Mungu

Ndugu mtiwa-mafuta akila mkate wakati wa Mlo wa Jioni wa Bwana.
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki