Julai 19-25
KUMBUKUMBU LA TORATI 16-18
Wimbo 115 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Kanuni za Kuhukumu kwa Uadilifu”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Kum 16:9-22 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa gazeti linalopatana na habari ambayo mwenye nyumba ametokeza. (th somo la 3)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 4)
Hotuba: (Dak. 5) it-1 519 ¶4—Kichwa: Je, Kutaniko la Kikristo Lina Waamuzi? (th somo la 18)
MAISHA YA MKRISTO
Je, Wewe Unaweza Kutumikia Ukiwa Painia wa Kawaida?: (Dak. 10) Mazungumzo yakiongozwa na mwangalizi wa utumishi yanayotegemea makala zenye kichwa “Je, Unaweza Kujaribu kwa Mwaka Mmoja?” na “Ratiba za Upainia wa Kawaida” katika Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo la Julai 2016. Onyesha video Yehova Hutegemeza Huduma Yetu na mzungumze kuihusu.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 5)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 11 ¶1-8, video ya utangulizi
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 60 na Sala