Septemba 6-12
KUMBUKUMBU LA TORATI 33-34
Wimbo 150 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Pata Kimbilio Katika ‘Mikono ya Yehova ya Milele’”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kum 34:6—Huenda ni kwa nini Yehova hakufunua mahali ambapo Musa alizikwa? (it-2 439 ¶3)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Kum 33:1-17 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video Ziara ya Kwanza: Biblia—2Ti 3:16, 17. Simamisha video kila mara kunapokuwa na kituo, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yanayoonyeshwa kwenye video.
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)
Ziara ya Kwanza: (Dak. 5) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa broshua Furahia Maisha Milele! na uanzishe funzo la Biblia. (th somo la 3)
MAISHA YA MKRISTO
“Tumia Furahia Maisha Milele! Katika Huduma Yako”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Karibu Kwenye Funzo Lako la Biblia. Kadiri wakati unavyoruhusu, zungumzia sehemu mbalimbali za kitabu kipya. Watie moyo wote wajifunze kila somo katika kitabu hicho kipya katika funzo la kibinafsi au kama mradi wa Ibada ya Familia.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 13 ¶7-14, sanduku 13A
Umalizio (Dak 3)
Wimbo 18 na Sala