Septemba 12-18
1 WAFALME 11-12
Wimbo 137 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Chagua Mwenzi wa Ndoa kwa Hekima”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Fa 12:21-24—Tunajifunza somo gani kutokana na utii wa Mfalme Rehoboamu? (w18.06 14 ¶1-4)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Fa 12:21-33 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo kwa ajili ya kampeni ya kuanzisha mafunzo ya Biblia. (th somo la 3)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Endeleza funzo la Biblia lililoanzishwa kwenye ziara ya kwanza, kwa kutumia somo la 01 la broshua Furahia Maisha Milele! (th somo la 11)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 07 jambo kuu la 4 (th somo la 8)
MAISHA YA MKRISTO
“Ndoa—Muungano wa Maisha”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Kujitayarisha kwa Ajili ya Ndoa—Sehemu ya 3:“Hesabu Gharama.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 19 jambo kuu la 1-4
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 63 na Sala