Septemba 26–Oktoba 2
1 WAFALME 15-16
Wimbo 73 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Asa Alitenda kwa Ujasiri—Namna Gani Wewe?”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Fa 16:34—Mstari huu unaimarishaje imani yetu kwamba unabii wote wa Yehova utatimia? (w98 9/15 21-22)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Fa 15:25–16:7 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo kwa ajili ya kampeni ya kuanzisha mafunzo ya Biblia. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 12)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo kwa ajili ya kampeni ya kuanzisha mafunzo ya Biblia. Toa utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? (lakini usionyeshe video). (th somo la 16)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 07 jambo kuu la 6 (th somo la 6)
MAISHA YA MKRISTO
Wanajeshi Jasiri wa Kristo: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha waulize wasikilizaji, Umejifunza nini kutokana na mifano ya Benjamin na Sruthi?
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 10) Onyesha video ya Septemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 20
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 103 na Sala