Oktoba 31–Novemba 6
2 WAFALME 3-4
Wimbo 151 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mchukue Mwanao”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
2Fa 4:38—Huenda “wana wa manabii” walikuwa nani? (it-2 697 ¶2)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Fa 3:1-12 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 17)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa utangulizi wa video Ni Nini Hutendeka Kwenye Funzo la Biblia? (lakini usicheze video). (th somo la 20)
Hotuba: (Dak. 5) w13 8/15 28-29—Kichwa: Unaweza Kuigaje Unyenyekevu wa Elisha Katika Utumishi wa Yehova? (th somo la 15)
MAISHA YA MKRISTO
“Hadi Ufufuo Utakapokuwa Halisi”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Mpendwa Wako Anapokufa.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 25
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 139 na Sala