Desemba 12-18
2 WAFALME 16-17
Wimbo 115 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Subira ya Yehova Ina Mipaka”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 2Fa 17:18-28 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Mweleze kuhusu tovuti yetu, na umwachie kadi ya mawasiliano ya jw.org. (th somo la 4)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa utangulizi wa video Kwa Nini Ujifunze Biblia? (lakini usionyeshe video) kisha mzungumze kuihusu. (th somo la 20)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 08 jambo kuu la 5 (th somo la 9)
MAISHA YA MKRISTO
“Endelea Kutarajia Mwisho kwa Uhakika”: (Dak. 5) Mazungumzo.
Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo: (Dak. 10) Onyesha video ya Desemba ya Mambo Yaliyotimizwa na Tengenezo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 31
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 74 na Sala